Dawa hii ina kiambato kikuu cha Bendroflumethiazide 5mg (Benduric 5Mg).
Inatumika kutibu yafuatayo:-
- Kudhibiti shinikizo la damu (hypertension)
- Kuzuia kuvimba kwa mwili (edema)
Zingatia Kunywa dawa hii kila siku kwa wakati ule ule kila siku. Epuka kunywa pombe wakati unatumia dawa hii, kwani inaweza kuongeza athari za upungufu wa maji mwilini (dehydration).
Kuipata dawa hii:
- Dawa hii inahitaji prescription cha daktari
- Kama huna Prescription, tafadhali onana na daktari hapa BURE bofya hapa
Dawa hii inapatikana kwa bei ya jumla. Kidonge kimoja (1) cha Benduric 5Mg kunywa kila siku.
Reviews
There are no reviews yet.